Makapuku Forum

Ila wakongwe wengine ni wazuri siyo wote ni wabaya
Humu hakuna chuki...matusi....dharau....tunamjibu mtu kulingana na post zake
Hatuzuii wakongwe kutoa maoni yao bali wakileta magumashi tutaignore......sio wakongwe wote ni wabaya
Mkuu mbona kuna wakongwe wengine wanaheshima na nidhamu...

Swalama?
 
Humu hakuna chuki...matusi....dharau....tunamjibu mtu kulingana na post zake
Hatuzuii wakongwe kutoa maoni yao bali wakileta magumashi tutaignore......sio wakongwe wote ni wabaya

Tukumbuke lengo la movement hii sio kuigawa Jf ila kuleta usawa na kuondoa matabaka yaliyowekwa na wale wanaojiita wakongwe na kuwaita wenzao mulugo's effect na majina mengineyo hivyo usisahau kulikumbusha hili mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…