Makapuku Forum

Nshafuta, ushauri umezingatiwa
Mtu anayekuzingua ukimuignore inamuuma coz atajua huna muda nae
Ukimjibu anahisi inakuuma alichoandika ht km ni upuuzi
Hii thread ndo habari ya JF hivyo jifunzeni kupotezea wanaoanzisha thread kutusema vibaya coz ni wanafiki tu

Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
Mbona Vingongo Forum hawajawahi kuizungumzia?....ni kwasababu haikuwa na swaga na wana chuki tu dhidi ya hii thread
..... ..............
 
Yule aliye ni mention nilimjibu kistaarabu but kuna nzi alijipendekeza kwenye post yangu ndo nkamwashia moto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…