aliyemuua alikosea sana,pengine angeongea maneno mengine meeengi ya busaraView attachment 407599
Huyu Masai wa Kipindi nampendea hii "First they ignore you,then they laught at you,then they fight you,then you win" ni km alivisema Vingongo
Jamaa anaona mbali
.........
View attachment 407599
Huyu Masai wa Kipindi nampendea hii "First they ignore you,then they laught at you,then they fight you,then you win" ni km alivisema Vingongo
Jamaa anaona mbali
.........
Wajinga waliotuignore mwanzo halafu wakatucheka baadaye wakaanza kupambana na sisi kwa kuanzisha Vingongo forum na thread za kutuponda lakini mwisho TULIWASHINDAView attachment 407601mmasai yuko vizuri
Huwezi kupendwa na watu wote maishanialiyemuua alikosea sana,pengine angeongea maneno mengine meeengi ya busara
Hata huku tuko nao wengi tu, wameamua kujileta kitofautiWajinga waliotuignore mwanzo halafu wakatucheka baadaye wakaanza kupambana na sisi kwa kuanzisha Vingongo forum na thread za kutuponda lakini mwisho TULIWASHINDA
angalia ht sasa kale kathread hapo pembeni wanatusema vibaya utafikiri hawajawahi kuliona zuri hata 1 humu...wanafiki tu hao kutwa nzima wana ingia humu kusoma maujanja halafu wanazuga kuponda
Tuwapotezee siyo level yetu
............
Nawe piaaView attachment 407507View attachment 407508View attachment 407509
Na kufikia hapo basi sina la ziada
Asante kwa Leo katika historia orijino kwa kudhamini segment hii
Jina langu naitwa Jimena Jimenes
Muwe na siku njema
Mbona hujaongelea simbaaivi dada hakuna magazeti ambayo hayaizungumzii yanga??
wanaingia kila mudaWajinga waliotuignore mwanzo halafu wakatucheka baadaye wakaanza kupambana na sisi kwa kuanzisha Vingongo forum na thread za kutuponda lakini mwisho TULIWASHINDA
angalia ht sasa kale kathread hapo pembeni wanatusema vibaya utafikiri hawajawahi kuliona zuri hata 1 humu...wanafiki tu hao kutwa nzima wana ingia humu kusoma maujanja halafu wanazuga kuponda
Tuwapotezee siyo level yetu
............
Yanga mnamatatzooYatauza wapi kwa mfano?
Hana macho huyooMbona nimeshayaweka long time
Download wewe[emoji12] [emoji12] [emoji12]elfu 20 si ya bando la miaka miwili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenishinda kwa ubishiihizo mb zote si bora nimwage likes kwa makapuku wenzangu
Kusomawanaingia kila muda
Nita reply baadaee
Kikofia mtukutu upoo???Wewe sinilikupa kitengo cha upishi ukakikataa, sasa utakula jeuri yako..
Hapa hakuna kupika
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hapo kwenye nukuu iwe kuanzia muda gani niwe naziletaKusoma
*Magazeti
*historia
*Update za mpira
*Vichekesho
*Swaga
*Nukuu n.k
Halafu wanazuga kutuponda
Dawa yao tusiwe tunawajibu ndo itawauma
HATERS GONNA HATE
.......................
Leta diktetaaAsante sana JJ, Katibu wangu. Basi na mimi ngoja niwaletee Leo katika Historia Orijino.
Me ngoja nitalii KFLeo Katika Historia Orijino:
Ni siku ya Kimataifa ya Utalii.
Timamu afande, Nipooo[emoji61]Kikofia mtukutu upoo???
Namkubali sana mjamaa1950 - Hiroyuki Tagawa anazaliwa.
Ni actor wa filamu kutoka nchini Japan.
Huwa anapenda kucheza nafasi ya Adui katika movie, na mara nyingi huwa ana roho mbaya.