Makapuku Forum

Point
 
Umetazama video za Muhammad Alli ?
Jamaa alikuwa ni shida hasa kono lake la kushoto
.......
 
Namjua vizuri sana mohammad alli, huyu ni habari nyingine kabisa ni kama alikua na mikono ya chuma vile [emoji2][emoji2].. Sasa ukiacha era ya muhammad alli Mike Tyson ndo second version yake
Siku hizi mchezo wa ngumi umeanza kufa....kuna ngumi lainilaini km za wanawake
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…