PointWasomi wa Afrika hawaheshimiki wakiwa Afrika. Huko Ulaya na Marekani wanaheshimika sana tena sana tu.
Afrika kinachoheshimika ni pesa haijalishi umezipataje; na usomi wako hauna thamani kama hujatajirika. Ulaya na Marekani msomi/profesa anategemewa kufundisha na kufanya utafiti na jamii inamheshimu na kumuenzi kwa njia hiyo na kamwe hategemewi kuwa tajiri. Ndiyo maana si ajabu kumwona distinguished professor akienda kazini kwa baiskeli au kwa miguu. Hawajali na hakuna atakayemcheka na actually ndo anaheshimika zaidi.
Usilaumu wasomi wa Afrika bali laumu amali zetu zinazomtaka kila msomi awe tajiri badala ya kuupima usomi wake kwa kuangalia mchango wake kitaaluma, kimawazo na kijamii.
MkamateUhamiaji wanakuja[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji4]
Umetazama video za Muhammad Alli ?Huyu jamaa alikua ni hatari sana yani mtu unagewa vitasa kama unapigwa na vitofa.. unaweza ukajikuta unamuomba msamaha aisee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Tunammiss sana huyu jamaa siku hizi kina May weather wanakwepakwepa tu na kukimbia hovyo ulingoni afu unaskia eti kashinda
Nategemea kuianza vizuri nikiwa na mtoto mzuri JimenaUnaianzaje wikendi hapo kiongozi???
Sio wewe tu karibu woteeMimi nikipata ajira serikalini ni full rushwa,full uzembe"
Pesa ndo inaongea kitaani
Maisha yenyewe elimu tumeipata kwa kunyweshwa uji wa mahindi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Pilipili ni kali kwa kuwasha [emoji4]Kuliko pilipili
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
......
Ohooo Imana shimweWaha hatutaniwi sasa
Namjua vizuri sana mohammad alli, huyu ni habari nyingine kabisa ni kama alikua na mikono ya chuma vile [emoji2][emoji2].. Sasa ukiacha era ya muhammad alli Mike Tyson ndo second version yakeUmetazama video za Muhammad Alli ?
Jamaa alikuwa ni shida hasa kono lake la kushoto
.......
Kwani bado HAJAVUNJA NYUNGO?!??Nategemea kuianza vizuri nikiwa na mtoto mzuri Jimena
Ishimwe mileleeOhooo Imana shimwe
Hapo ndo nnapokukubaligi dia we ni master mind wangu hakika.. Twenzetu huko kuliko na utulivuSawa kabisa, twende ufukweni mwa bahari
Siku hizi mchezo wa ngumi umeanza kufa....kuna ngumi lainilaini km za wanawakeNamjua vizuri sana mohammad alli, huyu ni habari nyingine kabisa ni kama alikua na mikono ya chuma vile [emoji2][emoji2].. Sasa ukiacha era ya muhammad alli Mike Tyson ndo second version yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] KaliKitu cha kwanza ni kukuhonga ww
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Haha sasa mkuu mbona hushangai mtu mzima na mvi zake anapoitwa baby? Naamini ningemuita mtoto mzuri kwa hiyo lugha iliyokuja na merikebu usingeniuliza hivyo [emoji4][emoji4]Kwani bado HAJAVUNJA NYUNGO?!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabisa siku hizi kuwa champion wala huitaji kumpiga mtu knockoutSiku hizi mchezo wa ngumi umeanza kufa....kuna ngumi lainilaini km za wanawake
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
..............
Michezo imevamiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabisa siku hizi kuwa champion wala huitaji kumpiga mtu knockout
Hakika, ila ningeongeza swali la nyongeza.Haha sasa mkuu mbona hushangai mtu mzima na mvi zake anapoitwa baby? Naamini ningemuita mtoto mzuri kwa hiyo lugha iliyokuja na merikebu usingeniuliza hivyo [emoji4][emoji4]
Mkuu. Habari ya siku! [emoji134] [emoji134]Sio wewe tu karibu wotee
Ni njema sana EMMYGUY habari ya wewe?Habari ya jioni Makapuku wenzangu!