Makapuku Forum

Bila shaka hili fumbo lako mpaka kulielewa inakubidi unywe Pombe sanaaa mpaka ulewe.
Tena ukiwa unakunywa usimsahau na rafiki yako Joseph.

NB: kabla ya kunywa pombe usisahau kufunga nyumba yako kwa kufuli.[emoji359]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
 
Acha ninywe tu maana hamna namna sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…