Kazi ya kubashiri nayo kaziHuyu ni kumbikumbi huyu!!!
Hahaa.. Ubinafsi huo mkuu. Tupendane bhana, tupendelee sisi vile upendavyo wewwNatamani angenitumia peke yangu na sio family
Daah naona Quigley kafanikiwa kunivunjia ndoa hata mwezi haijamaliza
We ishia hapo hapo.. Tena usinishike, nataka tuachane vizur kama tulivyoanz.. Plz paki vitu vyako nikurudishe kwenu.. Gari hyo imefka nje.
Basi mkuuTuliyamaliza
Ww unalianzisha tena hujui yule ana damu ya bluu
Mtabishana wenyewe
..........
Kumbikumbi huyoooomdudu gani huyu
.........
Ya chumbani hamuwezi kugawana sebuleni wewe alaaaHahaa.. Ubinafsi huo mkuu. Tupendane bhana, tupendelee sisi vile upendavyo weww
Huon haya, unabana na pua "eden ni kivuruge tu" mmmxxxhhhuuuuuDaah jamani usinifanyie hivo...eden ni kivuruge tu
Marafiki wakigombana shika jembe ukalimeWe si ndio umenikataza mimi, umeniambia mdomo unaweza kunileta madhara, saaa we mbona unaropoka.. Shaur yako
Yani nimeshindwa....au kuna wale wadudu wanavamiaga mahindi wanakula sijui wanaitwaje.Kazi ya kubashiri nayo kazi
Wala usimsingizie.. Umejivunjia mwenyewe..Daah naona Quigley kafanikiwa kunivunjia ndoa hata mwezi haijamaliza
Asante...Huon haya, unabana na pua "eden ni kivuruge tu" mmmxxxhhhuuuuu
Why.. Mbona mimi umenifanyia hvyo!!?Please don't do this to me...pls
Yani tunaachana siku ya kwenda kumuona mkwe kweli??Wala usimsingizie.. Umejivunjia mwenyewe..
Imeandikwa"mwanamke mjinga atavunja ndoa yake kwa mikono yake"