Makapuku Forum

Si ameondoka hajaniaga! akirudi atakuta mi wa mwingine...shauri zake.
Mwanamke mnafk wewe.. Nmekwambia jiandae twende kwa mkweo anakuhtaji ukavunga vunga, kumbe nia na madhumun upate kutoka na Quigley....

Sasa chukua kila unachoona kinakufaa na unachoweza kubeba ondoka navyo.. Mie niachie roho yangu tu na nyumba yangu, napiga simu hone shemej yako alete ile canter ubebe unavyovihitaji nikusindikize nyumban..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…