makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,993
- 104,502
Kweli kabsa arif.. Mie kanikosha sana hapo kwenye 6. Bt zote ziko poa.Kaka mkubwa umelenga mule mule lakin hiyo namba 6 umeipeleka mbali sana ilibidi ndo iwe namba 2... Akhsante kwa hii burudani though
A frog iz jumping jumping frog, frog iz jumping jumping frog, Oooh..!!! Frog there, fellaz!! Frog there... !!! ×3
Utamtumiaje sasa wakati uko nae hapoCwt"p" ntakutumia picha yangu unichore best..
60 sijui..Hivi huyo jamaa ana umri gan?
Kwenye hii top 10 ya dj ama!!?Kwakweli Dj katishaa mbayaaaa nitajie track zako hapo kama 3 hivi unazozikubali.
Ahsante.. Najihisi mkamilif zaid nikiwa nawe.Yani not perherps... that's how it is....
View attachment 392439 Bitoz huyoo
Hapaswi kushusha thaman utu wake kisa pesa.. Hebu fikiria wanae wanamchukuliaje.. Vipi watu timam waliomzunguka, ni kama vile mtoto uwe na maza kicheche.. Kama anafanya hayo kisa pesa hana tofaut ya kiakili wala kiroho na wale wanaotembea uchi kwa tv.. Kama anayafanya haya madogo ili apate pesa, vip akipewa dau kubwa zaid, si atafanya ambayo hujawah kumuwazia..Umeongea point...mimi pia huwa siuumizi ubongo kumchukia mtu...haswaa akiwa hana effect yoyote katika maisha yangu...mbaya zaidi nikiwa simfahamu in reality. Ila nadhan anafanya yale ili kuboost ile brog yake si unajua analipwa pesa mingi mingi
Yaani, punguani kabisa.Hata huwa ananishangaza sana na vituko vyake,mara aende travertine kwenye taarabu
iiiii jamani you've got to be shitin me60 sijui..
Ndio baby....ya kutoka kwa Dj wetu CobblepotsKwenye hii top 10 ya dj ama!!?
Hatar mwanangu unafaa kwa back vocals....ilala frog huyoooo..manzese frog huyoo
Ni kweli kabisa, mfano kuna mwanasiasa flan namuonaga ana maamuzi ya kike japo ye mwanaumeYeah.. Kuna viumbe wako kwenye maumbile fulani ila akili, maamuz, utendaji ni vya upande wa pili kabisa..
I will always make you feel special...we belong together my darling. KissAhsante.. Najihisi mkamilif zaid nikiwa nawe.
Ya utotoni... Ikae kabsa kwenye simu yake.Utamtumiaje sasa wakati uko nae hapo