Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ras kutani nilifurahia tu nilivyofanya kayak kwenye lile bwawa kama mto lenye na nilivyofanya tour ya kutembea mwenye lile pori lenye ngedere wengi hadi mwisho...pia niliogelea i felt safe kuliko baharini...amani ni pakubwa zaidi nakubali pametulia pia, swimming siku enjoy sana maji yanawekwa dawa.
Lagoon ina raha yake pia, mi pia nilivutiwa nayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom