Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
utazoea tu ...Huu Uzi wa makapuku Kama Group la whatsap haulali![]()
![]()
![]()
![]()
utazoea tu ...Huu Uzi wa makapuku Kama Group la whatsap haulali![]()
![]()
![]()
![]()
HaaaHebu cheki na amazing kwanza![]()
![]()
![]()
unakaribishwa saaana ...Ni poa sana mkuu
Hahahaaa.... ndo kwanza unasalimia umepewa na tahadhari hata kabla hujakaa.Hahaaaaa
Ananipa tahadhar![]()
Mwenzangu ......Hahahaaa.... ndo kwanza unasalimia umepewa na tahadhari hata kabla hujakaa.
Ngoja aje akupe maelezo mwenye utafurahializziebettie Na kama dada angu ni jukumu langu kujua kama umepata lunch na isiwe lunch tu iwe ni lunch matata unless otherwise tutaitisha kikao na atakae jibu tuhuma hizo atakuwa Th Name
kakaOk kwa kuanzia nenda kamweleze kuna mkaa anaitwa Manuu anamsabai...Then umchek respond yake ikoje..
Kuwadi huyo.Haaa
Linamo umeanza nini tena??
Akuu naogopa
Kuna MTU humu ndan alinidanganya kumbe ana mke
Bora niwe pekeanguuu![]()
![]()
![]()
Umemaliza kila kitu na ninaamini umeeleweka vyema sana..kaka
Cheki naye bwanaHaaa
Linamo umeanza nini tena??
Watu wabaya sana asee..Hahahaaa.... ndo kwanza unasalimia umepewa na tahadhari hata kabla hujakaa.
Usiogope bwana manuu hana mke labda mchepukoAkuu naogopa
Kuna MTU humu ndan alinidanganya kumbe ana mke
Bora niwe pekeanguuu![]()
![]()
![]()

Leo asubuh kuna Dada kalia humu ndaniPole,ulijuaje ana mke
Emmyguy unapenda kunifuatiliaMuulize akuambie maana naona kiherehere chake.
