Ule wimbo wa nasinzia nikikuwaza hivi kaimba nani?Aaaah
Yaan nasnzia had bas
MajangaNilisafiri kidogo akaanza usaliti
Hilo nalo ni tatizoTatizo nipaa sana juu anashindwa kunikamata
Yule chalii wa Kenya sijui anaitwa Nameless nadhani yuleUle wimbo wa nasinzia nikikuwaza hivi kaimba nani?
SweetiepieWho?
NamelessUle wimbo wa nasinzia nikikuwaza hivi kaimba nani?
Kiroho safi kabisa nampongeza kwasababu yeye mwenyewe ameshuhudia the power of wifeUkakuaga na roho safi sana, unampongeza mwizi wako!
Yeah ulinipga tafu mpenzi
Sasa kwahiyo ndo unamjali sana au?Sasa unavokimbia hivo itakuaje ukijikwaa??
Kafanyaje!!?Sweetiepie
LolLeo ati aniambia hainaga ushemeji
HayaAm very encouraged by this act
UnasinziaNasnzia mpaka sjui nafanya nn now
AirtekKwa hisani kubwa ya Airtek yatosha, nachukua fursa hii kujipongeza kufikia 91k..
Sasa nna usingizi.
AsanteKWELI
Ni usingizi tuHvi jaman huu usngzi ni nn ati