Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
CC: SznyLete mpya sasa
CC: SznyLete mpya sasa
Cc sweetiepieEti????
Mtu mwenye ule wimbo wa mwasiti auweke hapa kabla sijauweka mwenyewe
YeapMh!!! Uzi unakimbia post 400 zote nisome!!!![]()
![]()
AaaahEti????
Mtu mwenye ule wimbo wa mwasiti auweke hapa kabla sijauweka mwenyewe
Utaishi tu na small hauzUsiende mama
Mimi bila ww tena ntaishje jaman!!?
Kumbe ndio mucheso yaooooo ndio mana wachezaji wanamupenda hivyo kocha wao

Nimeamua kulivua pendoNini kimetokea tena
Weka picha
Weka...afu uje unipe mrejesha maam
Weka pichaUchochezi![]()
Usimuache Binam Jamani atakonda na kubaki mifupa huyo...
Mambo ya mwaka 47 hayoUjamaa ni bonge ya idea mkuu
Ila unatakiwa uangalie version nzuri
Nuuu nununuuuuUtaishi tu na small hauz
Nimejitahidi sana kwakweli..![]()
![]()
![]()
![]()
Swt p nlikuwa namuonea huruma ad aka malza
Bora umiliona hilo jiraniSweetiepie yuko sahihi kabisa
Mukongo funguka