Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Cc: BitozNaomba kujiunga nanyi makapuku wezangu
Cc: BitozNaomba kujiunga nanyi makapuku wezangu
Morning QuigleyMorning wote humu
AsanteLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Edward Lowassa, chaguo la wengi.
Tukutane kesho.
JJ uwanja ni wako sasa kwa magazeti.
TGIF!!
Byee!!!
Yatafuata soonMagazeti vipi leo
Anakaba sana mwenyekitiDuuh Mwenye kiti hadi Penati...![]()
Hivi wana ushujaa gani?Siku ya mashujaa nchini Namibia.
Happy birthday prezidaa1953 - Edward Lowassa anazaliwa.
Ni mwanasiasa maarufu toka nchini Tanzania.
Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi ya Tanzania.
Asante sana mwenyekitiLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Edward Lowassa, chaguo la wengi.
Tukutane kesho.
JJ uwanja ni wako sasa kwa magazeti.
TGIF!!
Byee!!!
Pamoja.Asante sana mwenyekiti
1821 - Chuo Kikuu cha Buones Aires chafunguliwa huko Argentina.
1929 - Reuben Kamanga anazaliwa.
Alikuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zambia.