SOMA HAPA MAELEZO MUHIMU:
Makapuku ni nani?
TOP 10 makapuku tishio JF
Underground vs Wakongwe wa JF
JF kama Group la WhatsApp
KAPUKU ni
*Member aliyejiunga from Jan 2014
*Member mgeni
*Member asiye maarufu
*member underground
*Member mwenye post chache
*Member anayedharauriwa
*Member mnyonge
*Member mwenye trophy point kiduchu
KUTOKUAEPO KWENYE LIST HAIKUZUII KUSHIRIKI
...............................................................
Km una kigezo mPM Th Name akuadd
...............................................................
One love
Soma post #231
Ni muhimu sana
Lengo kuu la thread hii ni kuleta usawa Jf na kuwafanya makapuku wafurahie uwepo wao na sio kuigawa Jf........
Matusi hayaruhusiwi
Makapuku tuwe mfano wa kuigwa
Km wew una reply/thread/post zako jukwaa fulani no like,no reply, no quote,unaletewa dharau kibao & una trophy point kiduchu km maksi za hesabu........toroka uje
Hapa ndio mwake
Makapuku Chat Room
Mapenzi,udaku,mijadala,,elimu,swaga,birthday,ushauri,funny,politic,jokes,news,michezo, & kila kitu kuhusu life
......................................................
KILA MTU YUPO FREE KUCHAT !!
.......................................................
.....................................................
Thread zote za Bitoz zipo hapa
Dongo kwa wazee. !!!
...........................................................
****Makapuku Chat Room*****