Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hivi wataendaje mtera kwa mfanoNinao ila sio kwa safari kama ya Mtera
Hivi wataendaje mtera kwa mfanoNinao ila sio kwa safari kama ya Mtera
Mhhh...Mtera tena?! yale maji ya bwawani ya umeme? umenidharau hatari...![]()
Sio kiroho chafuHii nimeruhusu kiroho safi
HaaaaUnakula nini?
Weka picha
Mkuu sio kwenye mitambo namsogeza mbele hukuTatizo kibali, kama huna huwezi hata kupiga picha
Hapana maana safari yenyewe hata haina mvutoSio kiroho chafu
Amekataa anasema maji ya umemeMkuu sio kwenye mitambo namsogeza mbele huku
Alaf nampeleka kwa wavuvi kule
Hahaha its fun

OooupsHata karibu hamna mkwe!!!!
HahahaNini tena jirani
HahahaHili nimeruhusu kabisa..... Mpeleke tu Mtera
Acha tu waende sipati picha wakirudi watakavyokuwa wananuka peregeHivi wataendaje mtera kwa mfano

HaaaaSi Szcny kasema atanipeleka mteraa kagundua napenda beach ila Dom hakuna...![]()
Ataendaje na mchepuko wangu?Acha tu waende sipati picha wakirudi watakavyokuwa wananuka perege![]()
![]()
Mkuu sio kwenye mitambo namsogeza mbele huku
Alaf nampeleka kwa wavuvi kule
Hahaha its fun
CoolMwanamke una wivu wewe ni hatari...(wivu unahusika lakini) Jay dee aliimba pia.
Sasa huko huko mtera ndio kwenyewe huko (chimbo)...ohoooo kumbe we hujui...shauri zako.