amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
Hata mimi, Music unaleta raha sanaaI luuv music
Niambie shem lake, za masiku?Ipogolo????![]()
![]()
![]()
Ufuta huujui, ni zao moja maarufu sana mikoa ya iringa, Dodoma na morogoroUfuta ndo nn hvi!!?
HahahaaIpogolo????![]()
![]()
![]()
Basi ni wazi huyu mwana wa Bristol atakuwa na urefu wa futi 3Usijali wewe najua
Matombo, malinyi ulanga huko ndo kwako
Na pwani, lindi na mtwalaUfuta huujui, ni zao moja maarufu sana mikoa ya iringa, Dodoma na morogoro
Basi tutaenda hukoNimecomfirm kwa Shululu hapo
Na bro wangu kasema ipooo
Ufuta huujui, ni zao moja maarufu sana mikoa ya iringa, Dodoma na morogoro

Hahaaaaa na ndio napita Muda huu napanda juuHahahaa
Njia yako ya kwenda skuli hiyoo
Hii fixKimbiji ya kigamboni au
Huku ni poa sanaaaa.. Tunakomaa na baridi tuWeekend iko poa kabisa, sijui huko uliko
Powa kawisaHaha nipo huku kwa kina Szczesny huku, habari ya parii?