Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ:
1/Bitoz nyangema=Bitoz mkuu/Mungu wa matozy

2/Bitoz mshua=bitoz aliye smart kimavazi hadi mfukoni

3/Bitoz pori= huyu hakuna anachojua zaidi ya kuvaa nguo matakoni tu

4/Bitoz kaoge=huyu mlainilaini hadi anapakatwa

5/Bitozkisketi=huyu ana mambo ya kike lkn siyo kaoge mfn anavaa vihereni .kipini n.k

********""""""""""""****
Hhmm.. Hyo 1. Mie simo wala sisapoti..
 
Arsenal juma piliiii
Na man u
Kesho sina mda nao hao
Full fixture ninayo
1471031236123.jpg

Hiyo ni kesho
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom