shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kipofu kaona mwezi
Kipofu kaona mwezi
Ha ha ha ha ha ha ha, siku zote najua ni ke.., hiyo avatar ya vibinti inanichanganya







Hongera mkuuNa Hao ni watoto wangu
Wallahi najua ni ke... Ningejua ni me ningemtokea pm teh teh
Asante baba mchungajiHongera mkuu
OhooooooWallahi najua ni ke... Ningejua ni me ningemtokea pm teh teh
Tumeona juaKipofu kaona mwezi
Sipo hapo .....Kwani haupo hapo bunda kesho nikupick tukale mchemsho?
Kweli bebi... Ndo maana kila siku nakuona mpyaKwangu ke asipodeka akae mbali atakuwa jike dume
Mbona hivyo sweetWallahi najua ni ke... Ningejua ni me ningemtokea pm teh teh

Wakina nani tena wanaokuchanganya?Hawa siwaelewi ujue
Mpole sana huyo bebi wangu, atajua namsalimia tuOhoooooo
Cc QUIGLEY
Namsalimia tu honey.... Ni kaka yangu katika Bwana.Mbona hivyo sweet![]()
![]()
Zote ni outUwiiiiii
Haya wakuuu
Mkafanye mnacho taka
Inaonekana mna penda kweli
Hospitali na mbuga za wanyama wap na wapi!!!
SawaWa kike, tutampa jina la Jimena
Usikonde wangu Szczesny baharia wangu.. very understanding hawezi kumind utani mdogo ka huuSipo hapo .....
Halafu uongee pole pole mwana wa Carenza asije akasikia

We nae umooo ila tu huvumiItabidi uelewe tu,maana hamna namna nyingine sasa
Yote ni sawa, we unampa kampani sweetiepie
Mi nampa kampani briz huku nikifurahisha macho yangu

Atakuwa yuko vema, ukinivuruga itabidi anioe mimi niwe wa nne..Shululu ni dume mwenye wake 3