Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,881 Sweetiepie said: Anajisikia maumivu kwenye uti wa mgongo kesho ndio tunaenda akachekiwe kipimo cha mwisho hospital ili tatizo lifahamike. Click to expand... Usiogope atapona
Sweetiepie said: Anajisikia maumivu kwenye uti wa mgongo kesho ndio tunaenda akachekiwe kipimo cha mwisho hospital ili tatizo lifahamike. Click to expand... Usiogope atapona
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Aug 7, 2016 #77,882 QUIGLEY said: Lakini hawanizidi mimi...nakupenda zaidi Click to expand... Cc;werrason
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,883 Papushikashi said: Mkuu hii ni post ya Jimena Click to expand... Take it easy mkkuu
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,884 shululu said: Cc;werrason Click to expand... Umeona eee
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Aug 7, 2016 #77,885 QUIGLEY said: Umeona eee Click to expand... Ili ajinyonge kabisa
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,886 shululu said: Cc;werrason Click to expand... Hapa kuna mambo 2, sweetie na 78k, tuone nani washindi
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,887 shululu said: Ili ajinyonge kabisa Click to expand... Werrason mkomavu na mwelewa wala hakuna shida
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,888 Sweetiepie said: Anajisikia maumivu kwenye uti wa mgongo kesho ndio tunaenda akachekiwe kipimo cha mwisho hospital ili tatizo lifahamike. Click to expand... Poleni sana Bas ntakusindikizeni hapo kesho Atakuwa alikuwa ana piga kaz ngumu sana
Sweetiepie said: Anajisikia maumivu kwenye uti wa mgongo kesho ndio tunaenda akachekiwe kipimo cha mwisho hospital ili tatizo lifahamike. Click to expand... Poleni sana Bas ntakusindikizeni hapo kesho Atakuwa alikuwa ana piga kaz ngumu sana
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,889 QUIGLEY said: Werrason ni kibabu kisicho na meno achana nacho mrembo Click to expand... Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki
QUIGLEY said: Werrason ni kibabu kisicho na meno achana nacho mrembo Click to expand... Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,890 Szczesny said: Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki Click to expand... Hakuna ushindani hainogi
Szczesny said: Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki Click to expand... Hakuna ushindani hainogi
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,891 QUIGLEY said: Hakuna ushindani hainogi Click to expand... Hahaha Ngoja aje mkongo
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,892 Szczesny said: Hahaha Ngoja aje mkongo Click to expand... Hana jipya sema mgeni nae mzito
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Aug 7, 2016 #77,893 Szczesny said: Poleni sana Bas ntakusindikizeni hapo kesho Atakuwa alikuwa ana piga kaz ngumu sana Click to expand... Kazi gani? 🙂
Szczesny said: Poleni sana Bas ntakusindikizeni hapo kesho Atakuwa alikuwa ana piga kaz ngumu sana Click to expand... Kazi gani? 🙂
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Aug 7, 2016 #77,894 Szczesny said: Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki Click to expand... Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG
Szczesny said: Interesting......... Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki Click to expand... Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,895 Sweetiepie said: Kazi gani? 🙂 Click to expand... It depends maana maumivu ya uti hayanaga sabbu moja May be ana beba vitu vizito ana anafanya kaz ngum May be hatumii godoro la dodoma( hata ulalaji pua husababisha hilo) Au hata mattzo ya ki homoni na ki baiolojia So it depends
Sweetiepie said: Kazi gani? 🙂 Click to expand... It depends maana maumivu ya uti hayanaga sabbu moja May be ana beba vitu vizito ana anafanya kaz ngum May be hatumii godoro la dodoma( hata ulalaji pua husababisha hilo) Au hata mattzo ya ki homoni na ki baiolojia So it depends
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,896 Sweetiepie said: Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG Click to expand... Hahahaha Yeah ni mtu mzuri pia Cc papaa Werrason
Sweetiepie said: Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG Click to expand... Hahahaha Yeah ni mtu mzuri pia Cc papaa Werrason
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,897 Sweetiepie said: Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG Click to expand... Huyu ni werrason wa chanika mchezo wa mdundiko
Sweetiepie said: Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG Click to expand... Huyu ni werrason wa chanika mchezo wa mdundiko
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Aug 7, 2016 #77,898 Szczesny said: Hahahaha Yeah ni mtu mzuri pia Cc papaa Werrason Click to expand... Yah
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,899 Jaman nakarbia kabsa kafika kufika Wembley
Szczesny JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 7,180 Reaction score 25,925 Aug 7, 2016 #77,900 QUIGLEY said: Yah Click to expand... Hata wewe pia U great Kama kawa