Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1964 - Lucky Philip Dube anazaliwa.

Maarufu kama Lucky Dube alikuwa ni mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa rege toka nchini Afrika Kusini.

Aliuwawa kwa kupigwa risasi mwaka 2007.

Ni mwanamuziki pekee wa Regge ambaye hakuwa anatumia kilevi cha aina yoyote ile.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…