Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1960 - Nchi ya Dahomey yajitangazia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.

Dahomey ilikuja kufahamika baadae kama Benin.
1470031661324.jpg
1470031666326.jpg
1470031672854.jpg

Nani alishinda?
Mwingereza au sio
..........
 
Leo katika Historia:

1984 - Bastian Schweinsteiger anazaliwa.

Ni kepteni wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani na pia anacheza katika klabu ya Man United.

Katika ubora wake alisifika zaidi kama Box to Box Midfielder yaani alikuwa na uwezo wa kukaba timu inaposhambuliwa na kushambulia pindi timu inaposhambulia.

Siku zake ndani ya klabu ya Man Utd zinahesabika.
 
Back
Top Bottom