lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
Hapo sawaa..[emoji23] [emoji23]Waachie wenzio. Ngoja nikubadilishie basi ila swimming pool ndo hivyo tena. Ushaikosa. View attachment 374049
Acha niikose tu..hamna namna..[emoji39]
Hapo sawaa..[emoji23] [emoji23]Waachie wenzio. Ngoja nikubadilishie basi ila swimming pool ndo hivyo tena. Ushaikosa. View attachment 374049
Hapo sawaa..[emoji23] [emoji23]
Acha niikose tu..hamna namna..[emoji39]
Mapombe hajaribiwi wewe. Ataking'oa hicho na kukitupilia mbali huko!View attachment 374052
Mbowe Angeweka hiki kibao ili kumchanganya huyo Mapombe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..............
Dictator asiyevumaMapombe hajaribiwi wewe. Ataking'oa hicho na kukitupilia mbali huko!
Hajaqualify kuwa dikteta. Ni mnyoosha nchi at least for now..Dictator asiyevuma
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
Daaaa nyieee... khaaa[emoji7] [emoji7] [emoji7]Waachie wenzio. Ngoja nikubadilishie basi ila swimming pool ndo hivyo tena. Ushaikosa. View attachment 374049
Tusubiri ndani ya miaka mi3 tupne km nchi imenyooka au ndo anaharibuHajaqualify kuwa dikteta. Ni mnyoosha nchi at least for now.. View attachment 374056
Hapa ndio pale unajikuta hata majukumu yako umeyasahau..[emoji4] [emoji4]
Hapa ndio pale unajikuta hata majukumu yako umeyasahau..[emoji4] [emoji4]
Sijamuona vizuri[emoji86]View attachment 374058
Hapa je si utahonga shamba zima la mipapai
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
Mi nampa mwaka mmoja - 2 years kama trickle effects za juhudi zake zitakuwa bado angalau hazijaanza kuwafikia watu wa chini positively basi nitaanza kuwa na wasiwasi. Maisha ni lazima yawe magumu kwa sasa kwa sababu hela za kuchezea hakuna ngosha kaziba mianya yote. Mafisadi mpaka vitambi vimepungua suruali zinapwaya...Tusubiri ndani ya miaka mi3 tupne km nchi imenyooka au ndo anaharibu
Mabadiliko yanaonekana huku mitaani biashara ngumu
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
................
Nipo best sema ndo hvyo tu majukumu yananibanaHivi upo?
Ulale unono..Nawatakieni usiku mwema makapuku