Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469905780734.jpg
 
Leo katoka Historia:

1964 - Jurgen Klinsman anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Ujerumani aliyeifikisha timu hiyo kwenye nafasi ya mshindi wa tatu kwenye michuano ya Kombe la Dunia lilifanyika kwao Ujerumani mwaka 2006.

Kwa sasa ni kocja wa timu ya taifa ya Marekani
Usisahau mkuu jamaa alikuwa fundi pia, alikuwa anaudananda vizur tu.
 
Back
Top Bottom