Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Wacha wee
Wacha wee
SafiiiiiIbrahimovic kashatupia hukoo...bonge la goli
Ni bitozNa swali la kwanza je? Mbona hujajibu?
Basi sawaNi bitoz
Wasaga sumu kimyaIbrahimovic kashatupia hukoo...bonge la goli
Hongera sana, ila nilihisi maana speed yako ilikuwa si ya kawaidaHivi mi ndo nimetupia ya 75k?
Ha ha ha na nimeshaidediketi tayari[emoji3] [emoji3]Hongera sana, ila nilihisi maana speed yako ilikuwa si ya kawaida
Duh una kismati, hongera tukutane 80kPost ya 75k
Hii nimeitupia kwa niaba ya Szczesny Carenza
Hizi ni mechi za mchanganiWasaga sumu kimya
[emoji460] [emoji460] [emoji460]
...............
Asante sana, watu na malengo yetuDuh una kismati, hongera tukutane 80k
akina TakumaWasaga sumu kimya
[emoji460] [emoji460] [emoji460]
...............
Uko vizuri mchanganiAsante sana, watu na malengo yetu
Nipo wangu, wikend yangu ipo kimajonzi... Nipo kwenye msiba toka jana kuna rafiki yangu kafiwaWe acha zako. Hiyo moja haitoshi maana nataka nauli ya kutoka sitimbi mpaka nnapoenda.
Kuna watu nimewamiss mno sasa ndo nataka nikawatafute? Mkiwaona waambieni nawatafuta jamani
Watu hao ni...........
1. Szczesny Carenza de la fuma de la Casa
2. briz Bristol Miguel Clinton
Sijawaona leo kabisa sijui mko wapi jumamosi ya leo[emoji134]