Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,816
- 15,578
Bado mii nawee tuWatu leo wametoka out [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chezea weekend wewe
Bado mii nawee tuWatu leo wametoka out [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chezea weekend wewe
Mabibo tena?Wako mabibo Beach [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Usinikumbushe kambale zimenileaWanakula kambale
Hata mii kanistua ha ha ha haaaAcha hizo we ndezi.....kwetu hakuna umeme sasa watakuja kunywa togwa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
..........
Si tuwe walinzi tuBado mii nawee tu
Mmh tukianza saa si tuta lala?Si tuwe walinzi tu
Picha muruwa sana.LEO KATIKA HISTORIA...
Mwaka 1992 (miaka 24 iliyopita) System Analyst wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Ndugu Charless Kitwanga (kushoto) akiwa na Mkemia wa Chama cha Ushirika mkoani Mwanza (NCU) Ndg.John Pombe Magufuli walipokutana mkoani Mwanza. Miaka 23 baadae (mwaka 2015) Magufuli alitangazwa kuwa Rais wa Tanzania na akamteua Kitwanga kuwa Waziri wake wa mambo ya ndani kabla ya kutengua uteuzi huo kwa kile kilichoelezwa ni "kashfa ya ulevi."
Kamera haijawahi kudanganyaPicha muruwa sana.
Kitu kizuri ....lakini buni jina lako mfano "kutoka maktaba"LEO KATIKA HISTORIA...
Mwaka 1992 (miaka 24 iliyopita) System Analyst wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Ndugu Charless Kitwanga (kushoto) akiwa na Mkemia wa Chama cha Ushirika mkoani Mwanza (NCU) Ndg.John Pombe Magufuli walipokutana mkoani Mwanza. Miaka 23 baadae (mwaka 2015) Magufuli alitangazwa kuwa Rais wa Tanzania na akamteua Kitwanga kuwa Waziri wake wa mambo ya ndani kabla ya kutengua uteuzi huo kwa kile kilichoelezwa ni "kashfa ya ulevi."
Njoo tucheze chandimuWee nouma
Mzushi tu huyoHata mii kanistua ha ha ha haaa
Mbona mwarudi na bi dada mlikua wapi?Mzushi tu huyo
Kazoea kumdanganya Dada ake (Lulu)
...............
We bibi kakudanya lini?We Jimena upo nchi gani usidanganye wenzio haupo bongo.
Jiulize sasaMbona mwarudi na bi dada mlikua wapi?
Tulikuwa viwanja tunafanya tokotoMbona mwarudi na bi dada mlikua wapi?
Nikvuta picha ya hapa nshapata jibuWako mabibo Beach [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
KumbeeWe bibi kakudanya lini?
Yupo kwao Sumbawanga
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
Safi sana na inapendeza nitaiga hiyoTulikuwa viwanja tunafanya tokoto
Ndo kawaida yetu week end
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
..............
Kasome uzi wake wa nyoka anasema yupo nje, unless Sumba imejitenga imekuwa nchi jirani Rais wetu.We bibi kakudanya lini?
Yupo kwao Sumbawanga
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............