Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,298
Hahaha ukiokota lazima uwe na shukrani kwani wapo hawajui hata waende wapi waone hata kwa machoNdo narejea gheto baada ya kuokoteza mawe
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
......
Hahaha ukiokota lazima uwe na shukrani kwani wapo hawajui hata waende wapi waone hata kwa machoNdo narejea gheto baada ya kuokoteza mawe
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
......
Sio rahisi..... Mi mtoto wa town weweNI kapesa ka togwa tu...punguza tamaa ipo siku utafanyiziwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
............
Siku yakikukuta ndo utaelewewa tofauti kati ya City na TownSio rahisi..... Mi mtoto wa town wewe
Hakuna urafiki kwenye hela labda maderaHahaha ukiokota lazima uwe na shukrani kwani wapo hawajui hata waende wapi waone hata kwa macho
Hiii kitu pesa wacha kabisa, na hali hii ya magu useme, hata michepuko imepungua[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hakuna urafiki kwenye hela labda madera
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
................
Haitakuja kutokeaSiku yakikukuta ndo utaelewewa tofauti kati ya City na Town
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.............
Naendaga sana UDSM kumejaa Ngedere wanaiba hadi ndizi za wanafunzi hostel usipofunga dirisha wanakula hadi ubwawa kisha wananyea potiView attachment 372497
Mean while UDSM wazee wa pori wakiwa kwenye mchakato wa kuongeza maarifa...Elimu Bahari! Chekechea inaanzia Ferry!
Naendaga sana UDSM kumejaa Ngedere wanaiba hadi ndizi za wanafunzi hostel usipofunga dirisha wanakula hadi ubwawa kisha wananyea poti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
..................
WataappealWahuni tu hawa,dawa ni kuwafelisha tu warudie kila mwaka!
Wataappeal
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..................
Tena ndo wanapatikana kwa wingi kwenye vizimba vya COET...na mabweni ya kule kwenye migahawa yaani wanajiachia tu hadi nikashangaa km wana hisa pale UDSMBora wangeenda hata kupiga misele SUA tujue labda wapo kwenye maeneo yao ya kuonesha umahiri ila kuingia COET ni uhuni tu maana Engineering na Pori wapi na wapi!
Kwakweli hawa nao ni tatizoView attachment 372497
Mean while UDSM wazee wa pori wakiwa kwenye mchakato wa kuongeza maarifa...Elimu Bahari! Chekechea inaanzia Ferry!