Makapuku Forum

 
Nalinda maadili
NO picture
..................
 
Saw Torture

Walikuwa wana mvua mtu nguo zoote na kuchukua msumeno wana anza kazi kwa kumkata tartiibuuu pia
Walimuweka kichwa chini ili damu inavo toka iende kichwani na asipoteze faham
Kwa hiyo mtu alikatwa akiwa mzima mzima na akiugulia mauimivu mwanzo hadi mwisho wa uhai wake
Na ili kumfanya aumie zaid na akae mda mrefu zaid wakataji waliishia tumboni tuuu

Hiki ndio kifo alicho kipata st paul huko Roma
 
Mbona ulimi hata misukule huwa wanakatwa hao watu bado wapo kabisa yaani ni ukatili kwenda mbele na yule aliyemuua mkewe kisha akamtoa maini na moyo yupo kwenye list pia
 
 
Hanged, Drawn, and Quartered

Hiii ndio ilikuwa kiboko
Kwanza mtu alinyongwa na kama ana karibia kabisa kifa walimtoa kamba
Then walimzamisha na kumtoa kwenye maji ili kunyima hewa

Halafu wali mhasi kwa ku mtoa dushe na ku choma dushe yake huku na yeye aki shuhudia tukio hilo

Na wali malixa kwa kumfunga kwa kamba na ku ziunganisha kwenye farasi then waliamuru farsi ziondoke na zilimvuta kwa nguuuvuuu hadi alipo kuwa vipande vipande

Wana sema hii ilitumiwa sana huko England kipind cha vita za miaka ya 1600 na ili kuja kupigwa marufuku mwaka 1814
 
 
Thanks alot wakuu
Hii si kazi rahisi

Na wakubali watu woote wa segment za asubuhi hasa mussolin na My Jimena Jimenez nawakubali sana na nna washukur kwa moyo wenu wa kujituma na kaz fresh segment zenu ndo bora zaid nadhan hapa


Then asante kwa wengne woote wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…