The Chair of Torture
View attachment 372056
Au walikuwa wana kiita kiti cha Yuda kili tumika huko Europa mika ya 1500-1800 kiti hiko kili wekwa vyuma zai ya 500 na kili acgwa nafasi kwa ajili ya kuruhusu moto ulo kuwa ukiekwa chini ya kiti
Hii ilitumika kumuua mtu at least ili wale walo baki wa confess kitu kinacho hitajika
Cement Shoes
View attachment 372060
Hii ilitumiwa sana na wa amerika wa ki Mafia ambao walikuwa waki kukamata wana weka miguu kwenye kitu kama tofali kubwa halafu wana mwaga sumenti na wana subir hadi ikauke
The wana kuchukua wanaenda kuku tupa katikat ya bahari, mto mkubwa au ziwa
Apo huponi
Breast Ripper
View attachment 372064
Hiii na kopi jamani kama ilivo
"Though women were also subject to many of the torture techniques on this page, this is one that was specifically designed for them. Used to cause major blood loss, the claws, which were often red hot, would be placed on the exposed breasts as the spikes penetrated beneath the skin. It would then be pulled or jerked causing large chunks of flesh to come off with it."
Bora tuliozaliwa siku hiziGuillotine
View attachment 372013
Hii ilikuwa kitu chenye ncha kali kama wembe lakini kikukvwa na cha chuma kina tumika
Mtu alikuea ana wekwa kwenye ubao ana lazwa na li jembe hilo lina achiwa kwa nguvu na kumkata kichwa , kiuno or what ever
Wana sema hii ilikuwa ni njia ya kumuua mtu kwa heshima kwan maumivu yalikuwa machache (siyo kwamba huumii una umia sana tena ila si sana kama njia nlizo tangulia kuonesha jana) na pia ilikuwa mtu ana kufa ndani ya dakika kadhaa hvo kwa watu walio waonea huruma kitu hiyo ilitumika
Maeneo kama ulaya , quing dynast na ancient Korean kingdoms (baekje,silla,Gugryeo etc) wali zitumia
Kama movie jamaniThe Rack
View attachment 372019
Hii bwana iliwekwa ku dislocate joint zoote za mtuhumiwa , kwa hiyo mtu alifungwa mikono na miguu na watu walikuwa wakizi nyonga/wakizivuta/wakizizungusha mpaka waone maungio yote ya miguu na mikono yamehama na walikuwa ili kama kweli wame ku dislocate wana fanya kuhakikisha kwa ku nyonga kamba hadi miguu au mikono igeuke kabisa
Sasa umekuja kujibu sahizi akiona je[emoji133] [emoji133] [emoji133]Haya
Ha ha ha yani nimecheka sana japo ni tukio la kusikitishaTongue Tearer
View attachment 372046
Hii ilikuwa ki toa ulimi, wali kuwa wana weka mashine inayo fungua mdomo kwa nguvu, halafu inaingizwa hii kitu kwa ulazima na ikisha kamata ulimi wana iforce kwa nguuvuu na wana ukoroga ulimi halafu wana ung'oa. Maumivu yake utasimulia hadi akhera nakwambia
Njema,Habari dadake
Kama ingekuwa kweli shetani yupo basi ningesema hao wanaofanya hayo ni ndugu zake ila tatizo hayupo na watu hufanya yote hayo kwa utashi waoRat Torture
View attachment 372048
Kukaa na panya tuu jamani ni shida na kwa wale wenzangu walo wahi ku ng'atwa na panya wana jua anavo toboa
Sasa hapo walikuwa wana mchukua mtu wana mfungia kama ki jumba flan hivi kidogo maeneo ya tumbo (au sehem yyte watakayo amua) halafu walikuwa wana weka moto kwa juu ya hiko kijumba (mara nyingi cha bati) sasa ili panya akimbie huo moto ilitakiwa aazime njia kwa kumtoboa huyo mtu (kama vile ambapo huwa ana chimba shimo) hadi afanikiwe kutoka ili kukimbua huo moto
Pamoja sanaaNitarudi na nitapokea kijiti cha kukimbiza posts dadake, kwa sasa nko bize sana, natoka asubuhi sana na kazini nko bize sana, narudi late sana but next week ntaweza pata nafasi kiduchu.
Asanteni kwa kuendelea kuilitea kf heshima
Yani wanaua ili wengine wafunguke? aisee hii sio sawaThe Chair of Torture
View attachment 372056
Au walikuwa wana kiita kiti cha Yuda kili tumika huko Europa mika ya 1500-1800 kiti hiko kili wekwa vyuma zai ya 500 na kili acgwa nafasi kwa ajili ya kuruhusu moto ulo kuwa ukiekwa chini ya kiti
Hii ilitumika kumuua mtu at least ili wale walo baki wa confess kitu kinacho hitajika
Crocodile Shears
View attachment 372069
Hii ilikuwa inatumika kumpa mtu ulemavu wa moja kwa moja au ku mhasi mtu alo msaliti mfalme
Sasa waliipiga moto sanaa mpaka iwe nyekundu alafu wali bana sehemu husika(lets say dushe sasa hapo) halafu wana ivuta kwa nguvu ili kumng'oa bwana dushe
Na hapo ndi huwa mwisho wa stori ya mtu kuitwa mwanaume
Unaenda kuwa chakula ya mambaCement Shoes
View attachment 372060
Hii ilitumiwa sana na wa amerika wa ki Mafia ambao walikuwa waki kukamata wana weka miguu kwenye kitu kama tofali kubwa halafu wana mwaga sumenti na wana subir hadi ikauke
The wana kuchukua wanaenda kuku tupa katikat ya bahari, mto mkubwa au ziwa
Apo huponi
Hii sasa ni too muchCrocodile Shears
View attachment 372069
Hii ilikuwa inatumika kumpa mtu ulemavu wa moja kwa moja au ku mhasi mtu alo msaliti mfalme
Sasa waliipiga moto sanaa mpaka iwe nyekundu alafu wali bana sehemu husika(lets say dushe sasa hapo) halafu wana ivuta kwa nguvu ili kumng'oa bwana dushe
Na hapo ndi huwa mwisho wa stori ya mtu kuitwa mwanaume