Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,330
- 68,399
Leo katika Historia:
1963 - Donnie Yeni anazaliwa.
Mkali wa filamu za mapigano toka Hongkong.
1963 - Donnie Yeni anazaliwa.
Mkali wa filamu za mapigano toka Hongkong.
Leo katika Historia:
1789 - Wizara ya mambo ya nje ya Marekani yaanzishwa.
Leo katika Historia:
1990 - Belarus inajipatia Uhuru wake toka kwa USSR.
Lakini ilipofika mwaka 1996, walibadilisha tarehe yao uhuru na kuwa June 3.
Leo katika Historia:
1963 - Donnie Yeni anazaliwa.
Mkali wa filamu za mapigano toka Hongkong.
Leo katika Historia:
1965 - Jose Luis Chilavert anazaliwa.
Golikipa wa zamani wa Paraguay.
Alikuwa mashuhuri sana kwa kupiga free-kick na moja kati ya magolikipa waliokuwa wanafunga sana magoli.
Actress??....labda ni typing errorView attachment 371693
Kingereza cha waandishi wa bongo
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji134] [emoji134]
Safi sana[emoji111] PapaaNiadje Papaa mukulu?
Leo katika Historia:
1965 - Triple H. Mcheza mieleka toka Marekani anazaliwa.
Bwahahahahahahaaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13]Sina cha ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa Medeama wazee wa 3 tu.
Ila kumbuka sio kila Njano ni Yanga, nyingine ni Medeama.
Hasta la Vista!!
Leo katika Historia:
1983 - Goran Pandev.
Mchezaji wa zamani wa Inter Milan anazaliwa.
Leo katika Historia:
1987 - Marek Hamsik anazaliwa.
Ni mchezaji wa Napoli ya nchini Italy.
Poa jombie.....nimemaliza kuweka picha now naenda town kucheki mawe km hapo freshSina cha ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa Medeama wazee wa 3 tu.
Ila kumbuka sio kila Njano ni Yanga, nyingine ni Medeama.
Hasta la Vista!!
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Nawasalimu kwa hisani ya Medeama [emoji4]