Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Leo katika Historia:
1949 - Thaksin Shinawatra anazaliwa.
Ni waziri mkuu wa zamani wa Thailand na aliyekuwa mmiliki wa klabu ya Man City.
Leo katika Historia:
1949 - Thaksin Shinawatra anazaliwa.
Ni waziri mkuu wa zamani wa Thailand na aliyekuwa mmiliki wa klabu ya Man City.
Makomredi wakiwa katika harakati za Mapinduzi ya mwaka 1959.
Leo katika Historia:
1953 - Felix Magath anazaliwa.
Ni kocha wa mpira wa miguu toka Ujerumani.
Leo katika Historia:
1957 - Yuen Biao anazaliwa.
Ni msanii wa movie za mapigano toka Hongkong.
Nzuri kabisaNjuri kabsa sjui wewe
Leo katika Historia:
1967 - Jason Statham anazaliwa.
Ni msanii wa movie mashuhuri toka nchini Marekani.
Leo katika Historia:
1985 - Gael Clichy anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu klabu ya Man City na Ufaransa.
Leo katika Historia:
1986 - Leonardo Ulloa anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka Leicester city.
Ndo kazi yanguPicha mujarabu kabisa.
Nzuri mkuu, busy sana aiseekwema mzee za kwako?
Za kwenye machungwa hatujazionaNdo kazi yangu
Simu imejaa mipicha kibao
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
................
safi sanaNdo kazi yangu
Simu imejaa mipicha kibao
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
................
Makomredi wakiwa katika harakati za Mapinduzi ya mwaka 1959.
26th July Movement mbali na Fidel Castro pia iliundwa na makomredi wengine kama;
Ernesto Che Guevara
Raul Castro
Camilo Cienfuegos
Huber Matos
Majukumu ya hapa na pale mkuuNzuri mkuu, busy sana aisee
Acha umbea kidumeZa kwenye machungwa hatujaziona
Hakika ni makamanda toka mioyoni mwao. Picha maridhawa kabisa! R.I.P kwa wale waliotangulia mbele ya haki.View attachment 371159View attachment 371161View attachment 371163View attachment 371164
Sura zao tu zimekaa kikamanda
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
...........
Chukua hiyo iliyokolea rangi itapendeza kwenye avatar kuliko unayotumiaHakika ni makamanda toka mioyoni mwao. Picha maridhawa kabisa! R.I.P kwa wale waliotangulia mbele ya haki.
poa ntafanya hivyo!Chukua hiyo iliyokolea rangi itapendeza kwenye avatar kuliko unayotumia
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.........
Ingia PMpoa ntafanya hivyo!