Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1945 - Chama cha Labour chashinda uchaguzi mkuu wa Uingereza na kumuondoa madarakani Waziri Mkuu Winston Churchill.
1469523185646.jpg
1469523190932.jpg
 
Leo katika Historia:

1953 - Fidel Castro pamoja na Camilo Cienfuegos wanaongoza jaribio lililoshindwa la kujaribu kuvamia Moncada Barracks na hiyo inasababisha kuanza kwa vuguvugu la Mapinduzi ya Cuba.

Na hapo ndio mwanzo wa kuundwa kwa " 26th July Movement " kikundi kilichopambana kuikomboa Cuba.
 
Back
Top Bottom