Mwaka mmoja tu?? You must be kiddingAhaaa...hizi kazi zinachooosha...sijui n ifiche cheti ili nitumbuliwe niwe najifungia tu ndani kukuonesha upendo wa kweli? Maana ramli zinasema hapa kwamba nikiwa serious kubet pendo lako kwa walau mwaka mzima unaweza nifikiria....
Mwaka mmoja tu?? You must be kidding
Ngoja tuone.Kidding kumpiga sound mtu mwaka mzima bila kuwa na uhakika kama atakubali ama laa na bado hukati tamaa unadhani kazi ya kitotooo? Thubutuuuuuu!
Ngoja tuone.
Weee utampigaje saound jimena wangu unatafuta [emoji380] !!?Kidding kumpiga sound mtu mwaka mzima bila kuwa na uhakika kama atakubali ama laa na bado hukati tamaa unadhani kazi ya kitotooo? Thubutuuuuuu!
Weee utampigaje saound jimena wangu unatafuta [emoji380] !!?
AaaahNishakushitaki kwake kwamba unanitishia na visu vya kukatia kachumbari, na pia tulikuwa tunakutafutia sababu tu ili akuache ha ha haaa...ila usijali nitakupa 5Mil na mdogo wangu wa kike aliye chuo waka wa mwisho...weka kabisa namba yako nikurushie!
Aaaah
Ngoja wewe ndo tukutafutie mwingine kwa kweli
Jimena simwachii [emoji379] [emoji378] [emoji379]
[emoji3] [emoji276] [emoji3] [emoji276]
Nenda kwa Wolper
Jimena niachie hapa
Mkuu ujue una jiweka hatarin maisha yako, eb jitahid uwatafute wengine nenda kwa kina mss chaga na atoto hukoHa ha haaa...mimi ni mgumu ila Harminize namkubali...nakuchukulia tu huyu mbona una wengi hatukusemi? au niharibu ukose kote?