Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469446896563.jpg
 
HIZI MILA NYENGINE!!!

Juzi nimeenda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao,sasa utaratibu ni kuwa,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini,mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa. Mzee huyo alipo simama....kwa kujiamini kabisa aka jikoholesha...alafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburi ndiye atakaye fuatia kufa...bila kutaja jina wala nini.....
Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...

Stupid mila.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
HIZI MILA NYENGINE!!!

Juzi nimeenda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao,sasa utaratibu ni kuwa,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini,mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa. Mzee huyo alipo simama....kwa kujiamini kabisa aka jikoholesha...alafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburi ndiye atakaye fuatia kufa...bila kutaja jina wala nini.....
Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...

Stupid mila.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ondoka tuuu
 
HIZI MILA NYENGINE!!!

Juzi nimeenda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao,sasa utaratibu ni kuwa,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini,mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa. Mzee huyo alipo simama....kwa kujiamini kabisa aka jikoholesha...alafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburi ndiye atakaye fuatia kufa...bila kutaja jina wala nini.....
Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...

Stupid mila.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani hadi huyo mzee hataki kufa sa watakufa kwa njaa
 
Back
Top Bottom