Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Wanasema bure sio sawa na mkaa bureKabisa,tupo tunapambana tu
Wanasema bure sio sawa na mkaa bureKabisa,tupo tunapambana tu
[emoji106]Amepandikizwa toka kwenye test tube
[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133]
[emoji445] [emoji443] [emoji445] [emoji443] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Huu mchezo hauhitaji hasira
Kuna mpiga jaramba mpya anaitwa Horseshoe Arch nae aione hii maneno
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji445] [emoji443] [emoji445] [emoji443] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ondoka tuuuHIZI MILA NYENGINE!!!
Juzi nimeenda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao,sasa utaratibu ni kuwa,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini,mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa. Mzee huyo alipo simama....kwa kujiamini kabisa aka jikoholesha...alafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburi ndiye atakaye fuatia kufa...bila kutaja jina wala nini.....
Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...
Stupid mila.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Achana navyoVingongo naona vimechachamaa vinafosi page....mi bado nipo Town kuuza machungwa
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
.............,
Werrason katika ubora wako[emoji445] [emoji443] [emoji445] [emoji443] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Najua huwezi kushindwa kituNafanya utaratib kumi kubwa zirud leo ila utartibu wa picha ndo umeboa
Yani hadi huyo mzee hataki kufa sa watakufa kwa njaaHIZI MILA NYENGINE!!!
Juzi nimeenda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao,sasa utaratibu ni kuwa,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini,mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa. Mzee huyo alipo simama....kwa kujiamini kabisa aka jikoholesha...alafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburi ndiye atakaye fuatia kufa...bila kutaja jina wala nini.....
Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...
Stupid mila.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji40] [emoji40] [emoji40]Werrason katika ubora wako
Maana hata akibaki hawezi kupona.... Njaa kiuOndoka tuuu
[emoji15] aiseeeeeVingongo naona vimechachamaa vinafosi page....mi bado nipo Town kuuza machungwa
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
.............,
Ilitakiwa tena ije top 25Najua huwezi kushindwa kitu
[emoji15] aiseeeee
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]