Makapuku Forum

Experence [emoji134] [emoji134]
Kwani mwenzetu umeshapenda wangapi mpaka sasa? Na mbona bado unaendelea tu kupenda?
Yaani mimi ni mbobezi kwa maana ya kuspesholize kwenye hiyo category ya domestic love, shahada ya kwanza nilipatia kwenye upendo general ila shahada ya umahiri nikajikita hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…