Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,721 jonax said: huyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa" Akinipa nakulaga Click to expand... Ha ha ha kikofia katika ubora wake
jonax said: huyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa" Akinipa nakulaga Click to expand... Ha ha ha kikofia katika ubora wake
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,722 werrason said: Hello this home. Click to expand... Hello mutu ya Congo
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,723 chopeko said: Hii Siredi naona siku hizi imekua ya "Leo katika historia"....... Click to expand... Ina kila kitu
chopeko said: Hii Siredi naona siku hizi imekua ya "Leo katika historia"....... Click to expand... Ina kila kitu
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,724 werrason said: Miaka inaenda! Huyu Rais ashalala miaka minne futi sita!!! Click to expand... Kweli miaka inaenda mbio sana
werrason said: Miaka inaenda! Huyu Rais ashalala miaka minne futi sita!!! Click to expand... Kweli miaka inaenda mbio sana
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,725 Bitoz said: View attachment 370204View attachment 370205View attachment 370206View attachment 370207View attachment 370208 Click to expand... Navy katika ubora wao
Bitoz said: View attachment 370204View attachment 370205View attachment 370206View attachment 370207View attachment 370208 Click to expand... Navy katika ubora wao
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,726 briz said: Afu unakuta kuna watu wanajulikana kuliko hata huyu aliyefanya ugunduzi muhimu kabisa kama huu kwenye secta ya afya Click to expand... Yaaaani
briz said: Afu unakuta kuna watu wanajulikana kuliko hata huyu aliyefanya ugunduzi muhimu kabisa kama huu kwenye secta ya afya Click to expand... Yaaaani
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,727 briz said: Aje aje mukulu, za jumapili? Click to expand... Pouwaaa..... Naona umeamka sasa
EMMYGUY JF-Expert Member Joined Aug 6, 2015 Posts 11,115 Reaction score 25,415 Jul 24, 2016 #72,728 briz said: Happy Sunday waungwana! Click to expand... Happy to you.
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 24, 2016 #72,729 werrason said: View attachment 370212View attachment 370214Hivi tized tuna madude kama haya??? Click to expand... Sidhani...
werrason said: View attachment 370212View attachment 370214Hivi tized tuna madude kama haya??? Click to expand... Sidhani...
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,234 Reaction score 39,964 Jul 24, 2016 #72,730 Jimena said: Hello mutu ya Congo Click to expand... Comment ca va Jimena?
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,234 Reaction score 39,964 Jul 24, 2016 #72,731 Jimena said: Kweli miaka inaenda mbio sana Click to expand... Ungeniuliza ningekuambia kafa mwaka juzi
Jimena said: Kweli miaka inaenda mbio sana Click to expand... Ungeniuliza ningekuambia kafa mwaka juzi
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,234 Reaction score 39,964 Jul 24, 2016 #72,732 Mussolin5 said: Ni kweli mkuu, yaani unakuta wanajulikana ni watu waovu tu lakini mashujaa kama hawa hawaimbwi. Click to expand... ....jamani naomba kuuliza, CT scan inapima nini???
Mussolin5 said: Ni kweli mkuu, yaani unakuta wanajulikana ni watu waovu tu lakini mashujaa kama hawa hawaimbwi. Click to expand... ....jamani naomba kuuliza, CT scan inapima nini???
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Jul 24, 2016 #72,733 Jimena said: Ha ha ha kikofia katika ubora wake Click to expand... Ana onekana tu ni kuku mtamu hata kwa kumuangalia
Jimena said: Ha ha ha kikofia katika ubora wake Click to expand... Ana onekana tu ni kuku mtamu hata kwa kumuangalia
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Jul 24, 2016 #72,734 Jimena said: Wanasiasa ni wanafiki sana Click to expand... Dah alikua anatuzuga sio?
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Jul 24, 2016 #72,735 werrason said: ....jamani naomba kuuliza, CT scan inapima nini??? Click to expand... Inahusika kupima kwenye kichwa especially ubongo
werrason said: ....jamani naomba kuuliza, CT scan inapima nini??? Click to expand... Inahusika kupima kwenye kichwa especially ubongo
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Jul 24, 2016 #72,736 Jimena said: Pouwaaa..... Naona umeamka sasa Click to expand... Niliamka kitambo sana sema sikuanzia hapa
Jimena said: Pouwaaa..... Naona umeamka sasa Click to expand... Niliamka kitambo sana sema sikuanzia hapa
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Jul 24, 2016 #72,737 EMMYGUY said: Happy to you. Click to expand... Thanks, ulikumbuka kwenda kanisani?
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,234 Reaction score 39,964 Jul 24, 2016 #72,738 jonax said: Kwel nmeamini sisi ni masuper star hapa Jf. Embu cheki hawa wanavyoweweseka na huu uwepo wetu hapaa Click to expand... Likes walikuwa hawatoi hata ukiongea point, ila wao kwa wao hata pumba ma-like kibao!!!....mapinduzi yametokea wanaweweseka!!!
jonax said: Kwel nmeamini sisi ni masuper star hapa Jf. Embu cheki hawa wanavyoweweseka na huu uwepo wetu hapaa Click to expand... Likes walikuwa hawatoi hata ukiongea point, ila wao kwa wao hata pumba ma-like kibao!!!....mapinduzi yametokea wanaweweseka!!!
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Jul 24, 2016 #72,739 Jimena said: Huyu nae alikuwa kichwa kwakweli Click to expand... Kichwa sana, nashangaa mtu muhimu ka huyu kwanini hajulikani?
Jimena said: Huyu nae alikuwa kichwa kwakweli Click to expand... Kichwa sana, nashangaa mtu muhimu ka huyu kwanini hajulikani?
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,234 Reaction score 39,964 Jul 24, 2016 #72,740 briz said: Aje aje mukulu, za jumapili? Click to expand... Poa B. Jpili iko bien