Makapuku Forum


Pogba V Adam Nditi wkt wakichezea timu za vijana.....Pogba now ni star Nditi kapotea km Hasheem Thabeet.....Wabongo tunaridhika mapema mfano hata humu kuna vikapuku viriridhika kwa kufikisha likes 5000 .....vikifulia ndo vinarudi

.......................
 
Kurudhika ni TATIZO kubwa mno, mfano mtu apatapo ka ajira tena kwa wahindi anaridhikaaaa.
Ajira ni nzuri hata ikiwa na mshahara mdogo but ifanye kama stepi...stone kuvuka upande wa pili.
Vivyo hivyo kwa soka na kazi zingine pia
 
Kurudhika ni TATIZO kubwa mno, mfano mtu apatapo ka ajira tena kwa wahindi anaridhikaaaa.
Ajira ni nzuri hata ikiwa na mshahara mdogo but ifanye kama stepi...stone kuvuka upande wa pili.
Vivyo hivyo kwa soka na kazi zingine pia
Walkianza kupotezwa na kina Kichumvi ndo watakbuka shuka asubuhi
...............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…