team makapuku mpo..dah mi nipo wadau wangu sema kipindi kifupi kijacho sitoonekana kidogo...majukumu kidogo ya kielimu yananiandama..msijali lakini tupo pamoja
Leo umeme ulikatika Mabibo Beach kuanzia alfajiri hadi saa 11;30 jioni hivyo simu ilizimika kwa kukosa chaji asubuhi ndo 7bu
......................................
Leo umeme ulikatika Mabibo Beach kuanzia alfajiri hadi saa 11;30 jioni hivyo simu ilizimika kwa kukosa chaji asubuhi ndo 7bu
......................................