Sasa hivi inabidi tuungane zaidi kuliko zamani ili kuwaumiza zaidi wale mawivuwivu
*Thread ilipoanza ....wakatuita watoto
*Thread ilipokolea wakaanza matusi na kuponda na kutaka ifutwe
*Thread imeendelea kupeta wameamua kuiga
Wasiwape shida kipya kinyemi....time will tell
.............