MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,703
- 71,039
Min al faidhin
Heri kabisa sijui wewe?
Heri kabisa mama,
Leo wapi sasa?
Min al faidhin
Heri kabisa sijui wewe?
kumbe jukwaa limekua mpaka kuna shift.Wapo wanaingia kwa shift
Poa kaka kusherehekea kwemaHuku kwema kabisa,
Tupo na sherehe tu.
Ohooo kuna shift ya mchana na usiku, unapitwa sana mkuu, siku hizi kuna mambo mengi ya kuvutia tofauti na ulivyoiacha kfkumbe jukwaa limekua mpaka kuna shift.
Asante mkuuWewe pia mkuu wangu.
Bila shaka umemwona briz
Inapendeza saanaMbona wapo, tunapishana muda tu
Haha kumshusha Jimena sio kazi rahisi, itabidi nikeshe hapa 24/7 mwaka mzima wakati huo na yeye awe amesimama kabisa kupost [emoji3][emoji3]Mshushe jimena
Hahaha pamoja sanaWafanya vyema
Nna mialiko kama minne hivi, ndo bado nafikiria pa kuanzia
SanaInapendeza saana
Eti Dokita.Una upara!!! Dokita[emoji3]
Jimena ni jembe sana, ni aina ya wanawake wachache wenye mvuto na kukubalika sana, ana mbinu kubwa sana za mapambano, ni aina ya ke ambao anaweza kuchezesha vichwa 10 za wanaume na wakatoka kapa.Haha kumshusha Jimena sio kazi rahisi, itabidi nikeshe hapa 24/7 mwaka mzima wakati huo na yeye awe amesimama kabisa kupost [emoji3][emoji3]
Itabidi tusitishe msaada wa like kwa Jimena.Haha kumshusha Jimena sio kazi rahisi, itabidi nikeshe hapa 24/7 mwaka mzima wakati huo na yeye awe amesimama kabisa kupost [emoji3][emoji3]
Mukongo utamweza?Eti Dokita.
Nipunguzie hiyo mialiko.Nna mialiko kama minne hivi, ndo bado nafikiria pa kuanzia
Fafanua vizuri jimena, mkia ni msamiati mpana ati!Mkia ni mkia tu
Najipongeza sambamba na waliokuwa kwenye mfungo kwa kupata [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji484] [emoji484] [emoji484]Heri kabisa mama,
Leo wapi sasa?