Makapuku Forum

Makapuku Forum

1467754388103.jpg

only 3
 
Mimi hata siku mjuaaa kabsa nilikuwa naskilzaga redio 1 kina Marehemu Moses justin (RIP)
Charls Hillary
Dr Misanya Bingi
Asia Mohamed
Rose Chitara
Abdallah Mwaipaya
Regina Mwalekwa
Aaaaah Mengi alikuwa na kikosi asee
Hawa ni manguli kwenye hii tasnia, kwanza redio one ndo ilikua kisima cha kukuzia vipaji vya mapresenter wengi wamepitia pale
 
Mimi hata siku mjuaaa kabsa nilikuwa naskilzaga redio 1 kina Marehemu Moses justin (RIP)
Charls Hillary
Dr Misanya Bingi
Asia Mohamed
Rose Chitara
Abdallah Mwaipaya
Regina Mwalekwa
Aaaaah Mengi alikuwa na kikosi asee
Kumbe Moses alifariki?? (R I P) mi kote aisee...
Kiukweli Mengi alitisha sana...
Rose Chitala kwenye chombeza time bila kumsahau Aboubakar Sadiq
 
Mimi hata siku mjuaaa kabsa nilikuwa naskilzaga redio 1 kina Marehemu Moses justin (RIP)
Charls Hillary
Dr Misanya Bingi
Asia Mohamed
Rose Chitara
Abdallah Mwaipaya
Regina Mwalekwa
Aaaaah Mengi alikuwa na kikosi asee
Huyu rose chitara yupo e fm nadhani
 
Hawa ni manguli kwenye hii tasnia, kwanza redio one ndo ilikua kisima cha kukuzia vipaji vya mapresenter wengi wamepitia pale
Aseee Mengi ndo chuo nakwambia kaka mkuu
Nilikuwa nikibadili labda radio free
Jacob usungu
Michael aleleni (kama sja kosea)
Na fred war (aaah huyu ndo alikuwa shdaaa)
 
Back
Top Bottom