Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Magic siyo alikwisha ondoka!!?Ndio
Magic siyo alikwisha ondoka!!?Ndio
Bado wanapendeza sana tu lakiniAnhaaa
Eeeh ni kweli wamekomaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Fina atakuwa makamo ya shangazi (komando) ila wana udongo mzuriiii
Hapana sema tu udongo wake mzuriHaha mbona Fina bado mbichi kabisa
Kumbe, mi najua bado yupo pale, hata hivyo sijamskiliza kitambo kidogoMagic siyo alikwisha ondoka!!?
HahahahaBado wanapendeza sana tu lakini
Hahaha aisee, ila wana miili mizuri sanaAnhaaa
Eeeh ni kweli wamekomaa
Nadhan alipata ajira ya kuolewa na mzunguKumbe, mi najua bado yupo pale, hata hivyo sijamskiliza kitambo kidogo
Nlikua nazungumzia ubichi wa muonekano wa sura najua kwa umri ni ajuzaHapana sema tu udongo wake mzuri
Kumbuka ye alikuwa mkubwa kuliko Amina,
Yule haipungui 40
Ni kweli,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
dah nimecheka kwanguvu balaa
Kwahilo hata mi nawasifuHahaha aisee, ila wana miili mizuri sana
Tunamtakia maisha mema....... Sauti yake tutaikumbuka daimaNadhan alipata ajira ya kuolewa na mzungu
Daaah! Siwezagi kutoa habar za kimbea
[emoji23] [emoji23] [emoji41] [emoji41]
Uko sahihi kabisa, wana chumvi za kutosha tu waleNi kweli,
mi nimepiga hesabu naanza kumsikia niko shule ye na JD washamaliza shule na wanatangaza.....
Sasa mi mwenyewe najiona nazeeka wao tusemeje??
HahahahahahahahaNlikua nazungumzia ubichi wa muonekano wa sura najua kwa umri ni ajuza
Hii mpya, sikuwa naijuaNadhan alipata ajira ya kuolewa na mzungu
Daaah! Siwezagi kutoa habar za kimbea
[emoji23] [emoji23] [emoji41] [emoji41]
Hao ni vikongwe kama jide badha kasha gonga 40Ni kweli,
mi nimepiga hesabu naanza kumsikia niko shule ye na JD washamaliza shule na wanatangaza.....
Sasa mi mwenyewe najiona nazeeka wao tusemeje??
Ndio umejua hivyo,Hii mpya, sikuwa naijua
Mimi hata siku mjuaaa kabsa nilikuwa naskilzaga redio 1 kina Marehemu Moses justin (RIP)Tunamtakia maisha mema....... Sauti yake tutaikumbuka daima
Ipo hyoHii mpya, sikuwa naijua
Kuna siku nilimskia redio flan aliulizwa umri na ye akamwambia jamaa 'utamuulizaje mtoto wa kike umri' hahaHao ni vikongwe kama jide badha kasha gonga 40