Makapuku Forum

Number 1, Kirstenbosch, Cape Town, South Africa ikiwa ina zaid ya aina 22,000 za maua ilianzishwa mwaja 1913 huko Pretoria kwa ajili ya kutunza aina fulan ya maua yaliyo kuwa yakihisiwa yana weza kupotea kwenye uso wa dunia, amini usiamini hii ndo Botanical Garden ya kwanza kabisa duniani

Ina maua yanayo itwa Restoss na huzaliana kwa kupata aina yyte ya moshi kwa hiyo bustan hii mara nyingi huwa na kuwashwa moto ili kuwezesha maua hayo yazaliane
 
Jaman mlikuwa na mimi wenu Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma

Jimena wangu nlitaka nidokeze jambo hapa kuhusu bustan ya Morocco ile lakin ntakuja PM maana vijana wataanza majungu hapa

Nawakubali wana famili
Katika wik 3 hizi zijazo Top ten inaweza kuwa ina kuja na kupotea kiaina so kaen tayar any time na nna wataka radhi kwani ni sababu zilizo nje ya uwezo wangu

Adiooous amigooooooouw
 
 
Kumbe Austria nao wamo
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…