Makapuku Forum

Makapuku Forum

1467618040209.jpg


[emoji115] Hahahaaa Balo haishiwi vituko!!!
 
Leo katika Historia:

1976 - Makomandoo wa Jeshi la Israel wanafanikiwa kuwaokoa mateka wa Israel waliokuwa wametekwa na Wapalestina baada ndege waliyokuwa wamepanda kutekwa na kupelekwa Entebbe Uganda kwa Idi Amin.

Katika Operesheni hiyo maarufu kama " Operetion Entebbe " Makomando hao walifanikiwa kuokoa mateka wao kwa muda wa dakika 90 bila vyombo vya usalama vya Uganda kufahamu.
Hii ilikuwa kali
 
Back
Top Bottom