Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1976 - Makomandoo wa Jeshi la Israel wanafanikiwa kuwaokoa mateka wa Israel waliokuwa wametekwa na Wapalestina baada ndege waliyokuwa wamepanda kutekwa na kupelekwa Entebbe Uganda kwa Idi Amin.

Katika Operesheni hiyo maarufu kama " Operetion Entebbe " Makomando hao walifanikiwa kuokoa mateka wao kwa muda wa dakika 90 bila vyombo vya usalama vya Uganda kufahamu.
 
Leo katika Historia:

1826 - Thomas Jefferson Rais wa tatu wa Marekani anafariki Dunia.
7ad350d98f76484d37eea8e9ba94532f.jpg
2e5b3e27848c6268ec69a49d45a2e025.jpg
 
Leo katika Historia:

1976 - Makomandoo wa Jeshi la Israel wanafanikiwa kuwaokoa mateka wa Israel waliokuwa wametekwa na Wapalestina baada ndege waliyokuwa wamepanda kutekwa na kupelekwa Entebbe Uganda kwa Idi Amin.

Katika Operesheni hiyo maarufu kama " Operetion Entebbe " Makomando hao walifanikiwa kuokoa mateka wao kwa muda wa dakika 90 bila vyombo vya usalama vya Uganda kufahamu.
f8113949be7d610ebb2bdcdb818dbf16.jpg
8a05d80b4f74b00afe3877a7cec9a586.jpg
6580678fbda32e577fbb8cbb35ecb6d5.jpg
 
Back
Top Bottom