Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Karibu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ahsante kwa magazeti
Karibu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ahsante kwa magazeti
Leo katika Historia:
1826 - Thomas Jefferson Rais wa tatu wa Marekani anafariki Dunia.
Leo katika Historia:
1914 - Archduke Franz Ferdinand wa Austria na Mkewe Sophia wanazikwa mjini Vienna, Austria baada kuuwawa siku sita nyuma yake.
Kifo chake kilisababisha kuzuka kwa vita ya kwanza ya Dunia.
aksanteKaribu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Very sad...
Leo katika Historia.
1926 - Alfredo Di Stefano gwiji wa mpira toka Argentina na Spain anazaliwa.
Ila leo umenikomesha jamaniMpaka hapo sina cha ziada, tukutane tena kesho hapahapa ukumbuni kwetu kwa hisani ya Kichwa cha Mtu huko Mbeya.
Naskia Jamaa alikuwa anaujua sana. Alichezea timu mbili za Taifa, Argentina na Spain zote.
Yaani hata uhuru wa marekani nao?Ila leo umenikomesha jamani
Hakuna niliewahi kumsikia hata mmoja[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Udhamini wako nao ni kesi
Hii ya Sept 11 ndo habari pakee nnayoijua kwa leoLeo katika Historia:
2009 - Mnara wa Ukombozi ( Statue of Liberty ) wa nchini Marekani wafunguliwa tena mara baada ya kufungwa kwa miaka kadhaa toka kutokea kwa shambulio la kigaidi la September 11 mwaka 2001 huko Marekani.
Bitozs
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Nahrene
cute b
lizziebettie
UncleBen
peterchoka
nyumbatatu
dekitambi
HULILO
Kawalala93
damtanzania
youngblood
tawa driller
SongeaOne
eden kimario
KABUGHA
Sambusa kavu
shaban lee
Nafsi huru
hassandady
Shemtibuko
sumbai
mabesela
dog 1
aggyjay
Elly_corner
Teacher on duty
willy fredy
PNC 1
jambilo
Powder
Mussolin5
xavia jr
punje haradari
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Leo katika Historia:
1976 - Makomandoo wa Jeshi la Israel wanafanikiwa kuwaokoa mateka wa Israel waliokuwa wametekwa na Wapalestina baada ndege waliyokuwa wamepanda kutekwa na kupelekwa Entebbe Uganda kwa Idi Amin.
Katika Operesheni hiyo maarufu kama " Operetion Entebbe " Makomando hao walifanikiwa kuokoa mateka wao kwa muda wa dakika 90 bila vyombo vya usalama vya Uganda kufahamu.
Leo katika Historia:
2009 - Mnara wa Ukombozi ( Statue of Liberty ) wa nchini Marekani wafunguliwa tena mara baada ya kufungwa kwa miaka kadhaa toka kutokea kwa shambulio la kigaidi la September 11 mwaka 2001 huko Marekani.
We uliadimika sana ndio maana ukasahaulika ila ukirudi kwenye mstari tutakuadd tuMi sipo katika hiyo orodha!!