Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Buni chako cha kuleta sio kuigaLeo katka historia
1954 the return of mkwawa head from Australia..
...............
Buni chako cha kuleta sio kuigaLeo katka historia
1954 the return of mkwawa head from Australia..
ahsante kwa picha
Morning mkuu, kwema huko!Morning kapukuz
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Leo katika Historia:
1881 - Simu ya Kwanza ya kimataifa yapigwa toka Canada kwenda Marekani.
Jamaa waliwahi kupata uhuru kabla yetu
We ulishawekaa hchooo....Buni chako cha kuleta sio kuiga
...............
F+Bitoz unatshaa kw historia leoo o-level history ulipata ngapii aise
Kumbe wakongweLeo katika Historia;
1960 - Somalia yajipatia Uhuru wake.
Ahsante hiki ni kipindi kabla ya mambo ya Disc man na baadae Ipod
Umekoleza utamu[emoji106]
Jamaa alikuwa hodari sana kwa goli za vichwa
Sana, mambo ya kuzungusha nambaEnzi za landline
Mviziaji hatari
Leo katika Historia;
1960 - Somalia yajipatia Uhuru wake.
Leo Katika Historia:
1962 - Ni siku ya Uhuru wa Burundi.
Kimsingi hawa ni kama nduguLeo katika Historia:
1962 - Leo pia ni siku ya Uhuru wa Rwanda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]F+
.....
Tanzania mwaka 1990[emoji85] [emoji85]Leo katika Historia:
1966 - Matangazo ya kwanza ya rangi katika Televisheni yarushwa rasmi hukoToronto Canada.
Nkwame na Nyerere wanafanana kwa mbaali
Tetesi zinasema aliuwawa na Royal family
Nazikumbuka hiziLeo katika Historia:
1979 - Kampuni ya SONY ya Japan yazindua Walkman ya kwanza Duniani.
Walkman ni radio ndogo za mkononi unazoweka kanda na kusikiliza mziki.
Mahakama inajua kudili na viongozi wa Africa tu.