Mi huwezi kunikuta POLIFIX FORUM huwa nasomasoma TU siwi na kiherehere huko kwa akina FaizerFix coz naweza tukana mtu bure kunahitaji uvumilivu
........
Kuna mtu anatafuta KICK kule MEMBERS ONLY kamwangalie kakomaa tangu asubuhi inaonekana hii thread inamuuma kuliko makorokoro ya kina Igweeee na Ngedere
........... ......
Mi huwezi kunikuta POLIFIX FORUM huwa nasomasoma TU siwi na kiherehere huko kwa akina FaizerFix coz naweza tukana mtu bure kunahitaji uvumilivu
........