Makapuku Forum

Wazima wote?

Salamu sana ama baada ya salamu hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.
Dhumuni la post hii nikutaka kukujulisha kwamba mimi sijambo kabisa........
Nimemis sana haya mambo yangu enzi hizo,shida inakuja pale mwalimu anapokama hiyo barua kwenye daftari.................
Natumai uko poa kabisa mkuu.
 
Mie mzima kabisa.. Miss you a lot..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…