Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Joe hart.Hebu nitajie kikosi cha kwanza cha man city
Otamendi.
Kolarov.
Kompany.
Mangala
Zabaleta.
Ferndandinho.
Samir.
Toure.
Silva.
Kun arguero***
Joe hart.Hebu nitajie kikosi cha kwanza cha man city
Hii wataangalia wenyewe.11 alfajiri
Umegoogle mpaka basiJoe hart.
Otamendi.
Kolarov.
Kompany.
Mangala
Zabaleta.
Ferndandinho.
Samir.
Toure.
Silva.
Kun arguero***

Nenda kale dakuHii wataangalia wenyewe.
Hiyo kazi sifanyi.
Kabisa Kama mechi ya Colombia na Peru ilikuwa bonge la mechiLatin America kila mtu fundi wa mpira
.......
Nafasi yake itaendelea kuwepo tu.Nataka ajue nafasi yake![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hiyo mida mibovu mkuu.SAA 11:00,Alfajiri
Lazima nicheki
Chicharito v Sanchez
Kanisani nitatega
![]()
![]()
![]()
...........

Kocha wako anaitwa nani?Hahahaha.
Ila mimi ni shabiki wakudumu wa Man city.
Subiri kombolelaHii wataangalia wenyewe.
Hiyo kazi sifanyi.
Hahahaha.Umegoogle mpaka basi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Ha haaaHahahaha.
Timu yangu lazima niijue japo sijui wengine hapo wanacheza namba gani![]()
![]()
pole sanaHii inahitaji commitment....Nenda kale daku
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Tuliozoea starehe za kwenda viwanja wala sio issueHiyo mida mibovu mkuu.
Hapo usingizi ndiyo unapamba moto....![]()
![]()
![]()
Mpya au aliyemaliza muda wake??Kocha wako anaitwa nani?
Ni shiiidaVijukuu vya Vasco Da Gama leo vimechachamaa havirembi
..........
We nae unawakubali tuLatin America kila mtu fundi wa mpira
.......