Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Niko poa ni kauchovu kidogo tu kwa ile mechi kali na flu kidogo, cjui kwakoUmeamkaje my love![]()
![]()

Niko poa ni kauchovu kidogo tu kwa ile mechi kali na flu kidogo, cjui kwakoUmeamkaje my love![]()
![]()

Nimeamka salama kabisa honey. Ngoja nikuandalie maji ya kuoga my love halafu chai ya tangawizi kwa ajili ya mafua baby.Niko poa ni kauchovu kidogo tu kwa ile mechi kali na flu kidogo, cjui kwako![]()

Kijana uko vizuri kwa ball, umewahi cheza au ni mshabiki mzuri huyu???Jana kapiga mpira mwingi halafu kamvisha mtu bonge la kanzu hadi aibu
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Jamani jamani, nilichelewa sana kukupata, thanks myNimeamka salama kabisa honey. Ngoja nikuandalie maji ya kuoga my love halafu chai ya tangawizi kwa ajili ya mafua baby.![]()
![]()
![]()
![]()

Nimecheza ndondo Primary hadi chuo kwa kujifurahisha tu now nimestaafu....nilikuwa nachezea chama la kitaaKijana uko vizuri kwa ball, umewahi cheza au ni mshabiki mzuri huyu???
Unawasaidia sana makapuku kujua kinachoendelea
Usijali honey kwa kuwa tuko pamoja hakuna kitakacho haribika my love niko hapa kwa ajili yako.Jamani jamani, nilichelewa sana kukupata, thanks my![]()
![]()
![]()
![]()

Nimecheza mpira Primary hadi chuo now nimestaafu....nilikuwa nachezea chama la kitaa
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Good, nami nimedaka sana ball, niliacha baada ya mchezaji moja kukasirika na kunipiga teke mkono na kuniumiza kidogo kwa hasira za kushindwa kunifunga. Ushabiki niliacha baada ya Brazil kutolewa mapema wakiwa kwao..world cup, staki presha tenaJana kapiga mpira mwingi halafu kamvisha mtu bonge la kanzu hadi aibu
![]()
![]()
![]()
![]()
........

Usijali honey kwa kuwa tuko pamoja hakuna kitakacho haribika my love niko hapa kwa ajili yako.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mi nilikuwa KIRAKA hadi leo nina kidole kimoja kibovu 7bu ya mpira nilipigwa "Bambi" style ya madochi hakijapona hadi leo pia kuna muhuni baada ya kumkazia na kuona mambo magumu alinipiga kiwiko puani hadi nikazimia ....ilikuwa O LEVEL nikaacha kucheza mechi na kuhamia kwenye mazoezi tu![]()
![]()
![]()
Good, nami nimedaka sana ball, niliacha baada ya mchezaji moja kukasirika na kunipiga teke mkono na kuniumiza kidogo kwa hasira za kushindwa kunifunga. Ushabiki niliacha baada ya Brazil kutolewa mapema wakiwa kwao..world cup, staki presha tena
Daah pole mkuu, mpira hatari kiasMi nilikuwa KIRAKA hadi leo nina kidole kimoja kibovu 7bu ya mpira nilipigwa "Bambi" style ya madochi hakijapona hadi leo pia kuna muhuni baada ya kumkazia na kuona mambo magumu alinipiga kiwiko puani hadi nikazimia ....ilikuwa O LEVEL nikaacha kucheza mechi na kuhamia kwenye mazoezi tu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Vema, basi karibu tufunguwe vinywa.Mkuu nashukuru Mungu si mbaya
Haswa Uswaz hazifuatwi Sheria 17 za FIFA ubabe ubabe tu ....baada kuzimia kidogo na kuzindukia home nilikula mbata na kupigwa stop kucheza ndondoDaah pole mkuu, mpira hatari kias
Haswa Uswaz hazifuatwi Sheria 17 za FIFA ubabe ubabe tu ....baada kuzimia kidogo na kuzindukia home nilikula mbata na kupigwa stop kucheza ndondo
![]()
![]()
![]()
........
