Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimecheza mpira Primary hadi chuo now nimestaafu....nilikuwa nachezea chama la kitaa

..........
Good, nami nimedaka sana ball, niliacha baada ya mchezaji moja kukasirika na kunipiga teke mkono na kuniumiza kidogo kwa hasira za kushindwa kunifunga. Ushabiki niliacha baada ya Brazil kutolewa mapema wakiwa kwao..world cup, staki presha tena
 
Good, nami nimedaka sana ball, niliacha baada ya mchezaji moja kukasirika na kunipiga teke mkono na kuniumiza kidogo kwa hasira za kushindwa kunifunga. Ushabiki niliacha baada ya Brazil kutolewa mapema wakiwa kwao..world cup, staki presha tena
Mi nilikuwa KIRAKA hadi leo nina kidole kimoja kibovu 7bu ya mpira nilipigwa "Bambi" style ya madochi hakijapona hadi leo pia kuna muhuni baada ya kumkazia na kuona mambo magumu alinipiga kiwiko puani hadi nikazimia ....ilikuwa O LEVEL nikaacha kucheza mechi na kuhamia kwenye mazoezi tu

..........
 
Mi nilikuwa KIRAKA hadi leo nina kidole kimoja kibovu 7bu ya mpira nilipigwa "Bambi" style ya madochi hakijapona hadi leo pia kuna muhuni baada ya kumkazia na kuona mambo magumu alinipiga kiwiko puani hadi nikazimia ....ilikuwa O LEVEL nikaacha kucheza mechi na kuhamia kwenye mazoezi tu

..........
Daah pole mkuu, mpira hatari kias
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom