Ila kuna jamaa yangu ya kwake imezimwa na TCRA inaonekana wanazima moja moja
Na leo na kesho wataendelea kuzima kwa hiyo kama fake yako haijazimwa kama hii simu yangu nyingine ujue kabali iko njiani
Halafu si alianza kampeni ya kuwasaidia wenzake? Akawa mzuri mpaka mama yake Akawa anawashukuru waliomsaidia mwanaye, Wanawake tunazaa jamani... Na hivi mtoto kwa mzazi hakui, namhurumia mama yake